AN-NUUR
Na.163 Rabiul Thani 1419, Agosti 21 - 27, 1998
Home Links Islam Tanzania Matoleo yaliyopita
NAFASI ZA KAZI YA UALIMU

Shirika la Africa Muslims Agency linakaribisha maombi ya kazi ya Ualimu.

Muombaji awe Mwanamke au Mwanaume mwenye sifa zifuatazo:

1. Shahada. 2. Diploma

Wenye uzoefu wanayo nafasi zaidi.

NB: Shule zetu zipo Dar es Salaam, Tanga, Moshi, Mtwara na Morogoro.

Maombi yakiwa yameambatanishwa na vyeti yatumwe kwa:

Mkuu wa Idara ya Elimu,

Africa Muslims Agency,

P.O. Box 9211, Dar es Salaam

Interview itafanyika tarehe 22/9/1998
 
 



Al-Farooq Boys Sec. School


 






Nafasi za kidato cha kwanza 1999

Form kwa ajili ya nafasi za masomo kidato cha kwanza 1999 zinapatikana sehemu zifuatazo:

1. Ofisi ya Mkuu wa Shule Al-Farooq, Tabata.

2. Ofisi ya gazeti la AN-NUUR Kariakoo mtaa wa Mahiwa/ Livingstone karibu na Msikiti wa Mtoro.

Siku ya mwisho kuchukua na kurudisha form ni tarehe 2/12/1998.

Mtihani wa usaili utafanyika shuleni Tabata tarehe 5/12/1998, saa 2 kamili asubuhi.
 
 

MASOMO YA ZIADA KWA WANAFUNZI WANAOJIANDAA KUINGIA FORM I - 1999

Masomo yataanza tarehe 15/10/1998 hadi tarehe 15/1/1999.

Kila mwezi ada ni Tshs 10,000/=. 

Masomo yatakayofundishwa ni Hesabu, Kiingereza na maarifa ya Uislamu.

MKUU WA SHULE
 


Juu

YALIYOMO



TAHARIRI

Milipuko ya mabomu Dar, Nairobi: Waislamu walaani vyombo vya habari
Na Mwandishi wetu

Wanawake Waislamu Tanga waazimia kupigania haki
Na Ibn Masoud, Tanga

Marekani yashambulia Sudan, Afghanistan

Maoni: Kulipuliwa kwa Ubalozi wa Marekani:
Huu ni unazi au sehemu ya mtandao?

Nguruwe kuzua tafrani Kibamba
Na Mwandishi Wetu

Sheikh Mbukuzi ataka vijana wajihadhari  na utamaduni wa Magharibi
Na Said Shariff

TAMPRO kuzindua Tawi Iringa
Na Mwandishi Wetu

Tamasha la kusaidia wagonjwa laanza Moro
Rajab Rajab na Mussa Ally, Morogoro

Kambi ya matibabu ya Macho Tanga yaanza
Na Mwandishi Wetu

MAONI: Kanisa mshiriki wa ukandamizaji

Porojo za Ngatara
Na J. Hussein

Ubatizo kupitia TVZ?
Na Salahuddin Ahmad

Waislamu Kosovo waangamizwa

MAPENDEKEZO YA KATIBA YA 
SHIRIKISHO LA TANZANIA -2

Hoja binafsi: Uhusiano na Marekani usituletee maafa
Na Said Rajab

Darasa la Muhammad (s.a.w)

Wanamume toeni haki  za wanawake kuepusha ufisadi
Na Halima Issa Ndabi,  Mwanza

MAKALA: Hoja za kutofautisha Yesu na Issa ni udhaifu,  ni uzushi mtupu! - 2
Na Muhibu Said

Mwanaadamu alipofikia
Na Nineka B.N., Geita

Mafunzo ya Quran

Barua za wasomaji

Mashairi

Masomo ya dini ya Kiislam

Chakula na Lishe

Matangazo

 

 Kutoa maoni yako kuhusu ukarasa huu:
Bonyeza hapa
Au
Andika barua  kwa: webmaster@islamtanzania.org

Home Links Islam Tanzania Matoleo yaliyopita