|
Na.163 Rabiul Thani 1419, Agosti 21 - 27, 1998 |
|
Waislamu Kosovo waangamizwa
MAJESHI ya Waserbia wa Yugoslavia yanaendelea kuwaua Waislamu wa Kosovo, huku jumuiya ya kimataifa ikiwa kimya bila ya kuchukua hatua zozote za msingi. Maelfu ya Waislamu wamekwishauliwa ,maelfu kuwa wakimbizi na wengine kukosa makazi baada ya majumba yao kushambuliwa na Waserbia. Kuepuka mashambulizi hayo, wengi wameyakimbia makazi yao na kutafuta hifadhi huko Mecedonia, Albania na Montenegro. Ili kuepusha hisia za Waislamu, mauaji haya yanayofanywa dhidi ya Waislamu wa Kosovo wanao taka kujitawala wenyewe kutoka shirikisho la Yugoslavia (Serbia na Montenegro), yamekuwa yakiripotiwa na vyombo vya habari kama ni mapambano kati ya majeshi ya Serbia chini ya Rais Slobodan Milosovic na watu wa jimbo la Kosovo wenye asili ya Albania. Haitajwi kwamba ni Waislamu. Kosovo ni sehemu ya Serbia ambapo takriban asilimia
90 ya raia wake ni Waislamu ambao awali walitokea Albania.
|
Milipuko ya mabomu Dar, Nairobi: Waislamu
walaani vyombo vya habari
Wanawake Waislamu Tanga waazimia kupigania
haki
Marekani yashambulia Sudan, Afghanistan Maoni: Kulipuliwa kwa Ubalozi wa Marekani:
Nguruwe kuzua tafrani Kibamba
Sheikh Mbukuzi ataka vijana
wajihadhari na utamaduni wa Magharibi
TAMPRO kuzindua Tawi Iringa
Tamasha la kusaidia wagonjwa
laanza Moro
Kambi ya matibabu ya Macho Tanga
yaanza
MAONI: Kanisa mshiriki wa ukandamizaji Porojo za Ngatara
Ubatizo kupitia TVZ?
MAPENDEKEZO YA KATIBA YA
Hoja binafsi: Uhusiano na Marekani
usituletee maafa
Wanamume toeni haki za
wanawake kuepusha ufisadi
MAKALA: Hoja za kutofautisha Yesu
na Issa ni udhaifu, ni uzushi mtupu! - 2
Mwanaadamu alipofikia
|
Kutoa maoni yako kuhusu ukarasa huu:
Bonyeza hapa
Au
Andika barua kwa: webmaster@islamtanzania.org