![]() |
WAISLAMU wamevilaumu vyombo vya habari kwa kuihusisha dini yao na ulipuaji wa mabomu ya kigaidi mjini Nairobi.
Baraza Kuu la Waislamu Kenya (SUPKEM) limesema kwamba Waislamu hawakubaliani na vitendo vyovyote vya kinyama na hivyo hawawezi kuhusika kwa namna yoyote na ulipuaji wa mabomu. Endelea....
Marekani yashambulia Sudan, Afghanistan
Watu wengi wahofiwa kujeruhiwa, kufa
Ndege za kijeshi za Marekani zimeshambulia Sudani na Afghanistan jana (Alhamisi) saa tatu usiku wa kwa majira ya Afrika mashariki.
Kwa mujibu wa matangazo ya CNN, mashambulizi hayo ya yamefanywa kufuatia tuhuma kwamba nchi hizo zinahusika na milipuko ya mabomu kwenye balozi za Marekani katika miji ya Nairobi na Dar es salaam. Endelea...
|
Bonyeza hapa Au Tuandikie kwa anuani hii: webmaster@islamtanzania.org |
|