|
Serikali imesema kwamba inathamini sana huduma za elimu, afya na ustawi
wa jamii zinazotolewa na mashirika ya kidini.
Aidha Serikali imetoa shukurani kwa wahisani wa miradi hiyo na kusisitiza
kwamba Serikali inathamini sana juhudi za mashirika ya dini kwa mchango
wake katika kuboresha huduma za jamii na kutoa misaada ya kibinaadamu.
.. endelea
Idadi ya watu waliokufa katika milipuko ya mabomu mjini Dar es Salaam na Nairobi imedaiwa kufikia 258 hadi kufikia jana, 248 wakiwa ni waliokufa Nairobi na 10 Dar es Salaam.
Waliokufa katika tukio la Dar es Salaam wametajwa kwamba ni Ramadhani Mahundi, Mtendeje Rajabu, Abbas William na Omar Ahmed Nyumbu. Wengine ni Abdallah Mohamed, Dotto Selemani, Abrahman Abdallah; Hassan Siyad na Yusuf Shamte. Maiti moja ilikuwa haijatambuliwa. ..endelea
|
|
|