|
|
| Home |
MashairiSalam kwa John MtakiNimeishika kalamu, kwa uwezo wa RabukaNaandika ya muhimu, Mola asiye na shaka Apendalo litatimu, pweke hana mshirika Hizi zangu salam, zifike kwa muhisika. Ewe John Mtaki, jina ulilojitwika
Waislam rijali, soma yake histori
John ninakukosowa, nisikilize makini
Niwake kwa wanaume, hawala hawatengani
Nguo fupi mipasuko, mwaingia Kanisani
Hapa mwisho nasimama, mwisho wa utunzi wangu
B. Batuli A. Mohamed Al-Amary,S.L.P. 4,Pangani - Tanga.
Katiba mmekiuka 1. Vifo Kimara Baruti, watu nane mwajutia
2. Kuzuia mihadhara, Katiba mmekiuka
3. Yalotufika Muheza, vifo vya watu mtoni
4. Gari moshi la Mpanda, Tabora lilipinduka
5. Mvua ziliponyesha, mlidhania baraka
6. Ela haikuwa mvua, ila jeshi la Rabuka
7. Senene qwele sawia, shambani wameanguka
8. Ilani twakuhusia, Benjamini Wamkapa
Shaboki S.R.Babati
|
Uvamizi wa Polisi Mwembe Chai: Mwanafunzi aliyepigwa risasi apooza Muhimbili Maoni yetu: Vipi watu wafurahie mateso ya wengine? Wanawake wakutana na kudai:
Gewe, Makamba wajiuzulu
Waraka wa Baraza Kuu kwa Mh. Rais Mmiliki wa Biblia na mbinu za kuhubiri MAKALA:
MAKALA MAALUM
Mdahalo juu ya kudhulumiwa Waislamu: Tuache hisia na kejeli, tutoe hoja Hali ilivyokuwa kwenye shule za Misheni Makala: Baada ya miaka 34 Zanzibar yakosa Majaji - na S. Mzee Bakwata ithamini juhudi za wengine Masheih Arusha wamuunga mkono
K.K.
Makamba aliongezea AN-NUUR 'Mashitaka' MSAUD wafikisha suala la Chuki
AMNESTY
|
| An-nuur Home | Links | Islam Tanzania | Matoleo yaliyopita |