AN-NUUR
Na.153 Safar 1419, Juni 12-18, 1998
 
Home 

Links 

Islam Tanzania 

Matoleo ya nyuma 
 
 

Uvamizi wa Polisi Mwembe Chai:

  • Mwanafunzi aliyepigwa risasi apooza Muhimbili
  • Aendelea kufungwa pingu kitandani. Ni Chuki Athumani, Mwanafunzi wa Alharamain
Na Mandishi Wetu 

Hali ya mwanafunzi Chuki Athumani (17) aliyepigwa risasi na Polisi Februari 13; bado hali yake si ya kuridhisha na anaendelea kufungwa pingu kitandani japo hawezi kutembea. 

Kutokana na kupooza sehemu za chini kuanzia sehemu za tumboni;. Mwanafunzi Chuki anahitaji kusaidiwa mara kwa mara; kugeuzwa; kusafishwa na kubadilishiwa nguo. Lakini kutokana na kuhesabiwa kama mhalifu; kunyimwa dhamana na watu kukatazwa kumuona, Chuki amekosa msaada huo hali inayompelekea kuota vidonda.Mwandishi wa habari hizi aliyebahatika kumuona Juni 9, alimkuta akiwa kalalia tumbo (kifudifudi) ikiwa ni namna ya kumsaidia ili kuvipa nafuu vidonda vilivyo sehemu za nyuma na miguuni. 

Akizungumza kwa uchungu mama mzazi wa Chuki Athumani Bi Safia Mohamed (54) alisema anasikitika kwamba mtoto wake pamoja na kuwa hawezi kutembea wala kujisaidia yeye mwenyewe bado anafungwa pingu.Alisema wakati mwingine huja kumsaidi, kumsafisha na kumpa chakula mwanawe lakini humkuta akiwa na pingu kwa hiyo inabidi Hali ya mwanafunzi Chuki Athumani (17) aliyepigwa risasi na Polisi Februari 13; bado hali yake si ya kuridhisha na anaendelea kufungwa pingu kitandani japo hawezi kutembea. 

Kutokana na kupooza sehemu za chini kuanzia sehemu za tumboni;. Mwanafunzi Chuki anahitaji kusaidiwa mara kwa mara; kugeuzwa; kusafishwa na kubadilishiwa nguo. Lakini kutokana na kuhesabiwa kama mhalifu; kunyimwa dhamana na watu kukatazwa kumuona, Chuki amekosa msaada huo hali inayompelekea kuota vidonda.

Mwandishi wa habari hizi aliyebahatika kumuona Juni 9, alimkuta akiwa kalalia tumbo (kifudifudi) ikiwa ni namna ya kumsaidia ili kuvipa nafuu vidonda vilivyo sehemu za nyuma na miguuni. Akizungumza kwa uchungu mama mzazi wa Chuki Athumani Bi Safia Mohamed (54) alisema anasikitika kwamba mtoto wake pamoja na kuwa hawezi kutembea wala kujisaidia yeye mwenyewe bado anafungwa pingu.

Alisema wakati mwingine huja kumsaidi, kumsafisha na kumpa chakula mwanawe lakini humkuta akiwa na pingu kwa hiyo inabidi 
 

YALIYOMO

TAHARIRI  

Uvamizi wa Polisi Mwembe Chai:  Mwanafunzi aliyepigwa risasi apooza Muhimbili   

Maoni yetu: Vipi watu wafurahie mateso ya wengine?  

Wanawake wakutana na kudai:  Gewe, Makamba wajiuzulu    
  
Maelezo ya Mjumbe wa Kisarawe katika mkutano wa kina mama   

Waraka wa Baraza Kuu kwa Mh. Rais   

BARUA ZA WASOMAJI  

Mmiliki wa Biblia na mbinu za kuhubiri   

MAONI YA WASHAIRI  

MAKALA:   
KAMATI YA KINA MAMA WA KIISLAMU - TAARIFA YA MATUKIO JUU YA UNYANYASAJI WA POLISI DHIDI YA WANAWAME WA KIISLAMU   

MAKALA MAALUM   
Waziri Dossa Azizi: Shujaa aliyesahaulika - Na. Mohammed Said  

Mdahalo juu ya kudhulumiwa Waislamu: Tuache hisia na kejeli, tutoe hoja  

TAMKO LA WANAWAKE WA KIISLAMU DHIDI YA MAUAJI YA WAISLAMU MWEMBECHAI NA KUDHALILISHWA WANAWAKE WAISLAMU MAHABUSU   

Hali ilivyokuwa kwenye shule za Misheni   

Makala: Baada ya miaka 34 Zanzibar yakosa Majaji - na S. Mzee   

Bakwata ithamini juhudi za wengine  

Masheih Arusha wamuunga mkono K.K.   
Na Mwandishi Wetu Arusha  

Makamba aliongezea  AN-NUUR 'Mashitaka'  

MSAUD wafikisha suala la Chuki AMNESTY  
  
Wazee Handeni wakwamisha mhadhara 

 
Maoni yoyote kuhusu ukarasa huu yapelekwe kwa: webmaster@islamtanzania.org
 
An-nuur Home Links Islam Tanzania Matoleo yaliyopita