|
|
| Al-Farooq
Boys Sec. School
Nafasi za kidato cha kwanza 1999 1. Ofisi ya Mkuu wa Shule Al-Farooq, Tabata. 2. Ofisi ya gazeti la AN-NUUR Kariakoo mtaa wa Mahiwa/ Livingstone karibu na Msikiti wa Mtoro. Siku ya mwisho kuchukua na kurudisha form ni tarehe 2/12/1998. Mtihani wa usaili utafanyika shuleni Tabata tarehe 5/12/1998, saa 2 kamili asubuhi.
MASOMO YA ZIADA KWA WANAFUNZI WANAOJIANDAA KUINGIA FORM I - 1999 Masomo yataanza tarehe 15/10/1998 hadi tarehe 15/1/1999. Kila mwezi ada ni Tshs 10,000/=. Masomo yatakayofundishwa ni Hesabu, Kiingereza na maarifa ya Uislamu. MKUU WA SHULE
AL-MALLID itafanya mihadhara kama ifuatavyo: Ijumaa tarehe 4/9/1998 mpaka Jumapili 6/9/1998
Jumatatu 7/9/1998 mpaka
Jumatano 9/9/1998
Ijumaa 11/9/1998 mpaka Jumapili 13/9/1998
Kila siku utaanza saa 8
mchana mpaka saa 4 usiku.
AL-AZHAR ISLAMIC CENTRE Box 65, Mlandizi, Pwani Mnada wa kuchangia jengo la Madrasa MAKALA/HABARI Uongozi wa chuo kilichotajwa hapo juu kinaawarifu waumini wote wa Msikiti huu kuwa siku ya Jumapili tarehe 6/9/1998 kuanzia saa kumi (10) jioni ya kuwa kutakuwa na mnada wa kuchangia ujenzi wa Chuo cha Kiislamu ambacho kitatoa elimu zote mbili kwa watoto wetu Mnada huo utaendeshwa na mgeni wa heshima ambaye ni Rais Mstaafu Alhaj Ali Hassan Mwinyi Mnada utafanyika uwanja wa Chuo uliopo nyuma ya soko kuu la Mlandizi. Waumini mnaombwa mshiriki katika mnada
huo kwa kununua vitu vitakavyonadiwa
Wabilah Tawfiq
AZ-AZHAR ISLAMIC CENTRE MLANDIZI
Taarifa Maalum 1.Utaratibu wa kujiandikisha kwa safari za Hijja miaka ya 1999, 2000 kwa kulipia kidogo kidogo bado unaendelea (Lipa kwa kadiri ya uwezo wako). 2.Safari za Umrah kila mwezi - Agosti, Septemba, Oktoba, Novemba na Umrah ya kumi la mwisho wa mwezi wa Ramadhani uandiksiahji umeshaaza. 3.Kwa maelezo zaidi au fomu, fika ofisini - Mtaa wa Kleist Sykes (Kipata) nyuma ya jengo la Ushirika (Lumumba) au piga simu Na. 182370 ofisini au Katibu - 0812-783-016, Katibu Msaidizi - 0812-780-366. Pia fomu zinapatikana TIC Magomeni Simu Na. 170664 DSM na Ofisi ya AN-NUUR Mtaa wa Mahiwa Simu Na. 181365 DSM. Zanzibar - Next Step: Simu Na. 32004, Alhaj Zaghloul Ajmiy Tel: 0811-337727 Safari ya Umrah ya wiki moja kwa ndege ya Air Tanzania kuondoka tarehe 12/9/1998 kurudi tarehe 21/9/1998. Tsh. 500,000 ni pamoja na nauli na kodi ya kiwanja, usafiri Jeddah, Makka na Madina, malazi bila chakula. A.M. JABIR KATIBU |
TAHARIRI
Aliyeandika Yesu si Mungu bado akabiliwa
na kesi
Wazazi walia na Mkuu wa shule
Mkwawa
Serikali iache kudhulumu
Waislamu - Bakwata
KESI YA MIRATHI: Hukumu ya
Jaji Agostino yatupwa
Sumaye sasa atoa ‘waadhi’ Msikitini
Sekondari ya Kiislamu Sumbawanga,
mtihani kwenu – Sheikh Akilimali
37 wasilimu Mwanza
Akamatwa kwa kusoma gazeti la ANNUUR ! MGOGORO WA CHWAKA NA MARUMBI: Serikali
ya Dk. Salmin itafute ufumbuzi
MAPENDEKEZO YA KATIBA YA SHIRIKISHO LA TANZANIA - 4 Kwa nini walengwa wa mabomu wawe ni
Marekani?
Profesa amekosea kusema kwamba...
Ugaidi ni ugaidi, hata wa Marekani
ni ugaidi
UGAIDI: Chanzo si magaidi, ni dhuluma
ya Marekani
Jengeni familia bora
Tuwasaidie Waislamu kielimu
na kiuchumi - Bi Zuhura
Tumieni uhuru wenu vyema
Hoja za kutofautisha Yesu na Issa
ni udhaifu, ni uzushi mtupu! - 4
Mihadhara ya Wakristo yatawala Handeni
Ziara ya Kadinali Pengo Moro
Aonyesha ujuzi wa kutengeneza
Trekta
Waislamu wasizifanye sharia
za dini kuwa nzito – Sheikh Mzonge
Sengerema waomba msaada
Chakula na Lishe
|