|
|
|
SITA: MBILI: TANO: MOJA: SABA KATIKA uwanja huu wa fikra, kuna hoja inayoitwa argument ad hominem. Neno argument tunaweza kulitafsiri kama hoja. Ad hominem ni neno la Kilatini lenye maana "kuelekeza kwa mtu". Watu wanaotumia hoja hii, hasa katika kuongelea sauala fulani, huacha suala lenyewe (issue) na kuelekeza mashambuli kwa mtu, labda kwa vile wanamchukia au ni mpinzani wao. Mfano wa hoja hii ni kama vile kusema: Sera za mgombea mwenzangu zinaonekana ni nzuri, lakini hamjui kama hana mke? Mtaongozwaje na Rais asiye na mke! Hoja hii husaidia sana, hususan muongeaji anapoongea na watu mambumbumbu. Wao huchukuliwa zaidi na udhaifu wa mtu wa kibinadamu na kutokufikiria uwezekano wa mtu huyo kuwasaidia. Baada ye wanaanza kujuta na kumnunia mtoa hoja anapopita, na kuwashangilia ambao hawako madarakani. Hii imetokea hivi majuzi. Suala la kujadili ni kuibiwa mitihani, lakini mtu anaamua kuelekeza mashambulizi kwa mtu. Utasikia: "Oh, anaitwa Juma. Tangu lini akina Juma wakaweza mambo? Oh, ana Kipara, Oh awapuye wenzake, kisha ajipuye mwenyewe". Shambulieni issue, msishambulie mtu.
|
YALIYOMO
Maoni Kuwa na mawazo ya kufugwa tunajidharaulisha Sakata la
mabucha ya Nguruwe kuibuka upya
Bakwata yairushia polisi makombora Ngaramtoni MACHO YA
SHUTUMA
Serikali
yatakiwa iwachukulie hatua wauaji
Historia ya Msikiti wa Ngaramtoni Silaha yetu
ni kura ya pamoja
Anuani
ya fikra
Tunahitaji
"UN' ya Waislamu!
Kongamano la wanawake wa Kiislamu Newala lafana Umuhimu
wa Elimu ya Awali kwa watoto wadogo - 2
Kesi mojawapo ya mihadhara yafutwa Wasaidieni watoto wenye vipaji - Prof. Kilonzo Mahafali ya kidato cha nne Thaqafa: Wazazi wakumbushwa wajibu wao Wanafunzi
Mwanza wadai haki za kuabudu mashuleni kwa usawa
Saidianeni katika shida - Sheikh Abdallah Waislamu, Wakristo Rufiji watakiwa kuunda umoja Someni muiokoe jamii kimaadili Kesi
nyingine ya Waislamu Mwembechai yaahirishwa
Kusilimu kwa Wakristo kwaleta kero Mwanza Nzasa waomba msaada wa chakula, madawa Katibu wa Bakwata Moro ang'olewa Msikitini Chakula
na lishe
|