AN-NUUR 
Na.175 Rajab 1419, Novemba 13 - 19, 1998 
Home Links Islam Tanzania Matoleo yaliyopita
 
Same Islamic College

"Same Islamic College" ni taasisi ya Elimu ya Kitaifa inayokusudiwa kutoa elimu katika ngazi zote kuanzia Chekechea hadi Chuo Kikuu, Insha-Allah. 
Taasisi hii ya kitaifa ambayo inasimamiwa na IPC, imeanza na mradi wa sekondari ya Kiislamu ya kitaifa ambayo itakuwa ni ya bweni tu. Ujenzi wa mradi huu umeshaanza na shule itaanza na Kidato cha Kwanza ifikapo mwaka 2000, Insha Allah. 
Kwa kuwa mradi huu ni mkubwa na wa aina yake, unahitaji ushirikiano wa hali na mali kwa Waislamu wote nchini. 
Hivyo, ndugu Muislamu toa sadaqah yako kwa kadiri uwezavyo ili kuiwezesha shule hii ya aina yake ianze 2000, huku ukikumbuka ahadi ya Allah ifuatayo. (2:261). 
Sadaqa yako ifikishe kwa:- 

(1) Benki A/c ya Islamic Propagation Centre 
(a) NBC (1997) Ubungo Branch A/c No. 6590000193 
(b) NBC (1997) Same Branch A/c No. 1909. 
(2) Dar es Salaam 
 (i) Office ya Gazeti la AN-NUUR Mtaa wa Mahiwa     Kariakoo, Dar es Salaam. 
 (ii) Shule ya Kiislamu Ubungo 


Semina

1. MADA KUU: Ajenda ya vijana wa Kiislamu katika ardhi ya Tanzania. 

2. TAREHE: 14/12/98 - 16/12/98 

3. WALENGWA: Wanafunzi wavulana ambao ni Waislamu kutoka katika shule za sekondari na vyuo nchini Tanznaia 

4. IDADI: Wajumbe hamsini 

5.MGAWANYO WA USHIRIKI. Kila mkoa (kwa Bara) una nafasi ya wajumbe wawili. Mikoa yote ya Tanzania Visiwani ina nafasi za wajumbe watano. (Unguja wajumbe watatu na Pemba wawili). 

6.WENYEJI: Jumuiya ya wanafunzi Waislamu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (MSAUD) 

7. GHARAMA. Kila mkoa ugharamie usafiri kwa wajumbe wake. Chakula na malazi kwa siku za semina ni juu ya MSAUD. 

8. NAMNA YA KUSHIRIKI: Maombi ya kushiriki (kutoka kwa viongozi wa Waislamu) yatumwe kwa kamati ya Semina kabla ya tarehe 30/11/98, kwa anuani hizi:- 

(a) S.L.P. 35152, Dar es Salaam. 

(b) Simu ya kawaida 051-807 & 43. Piga saa za kazi uliza Abasi au Mbwana. AU 051-807443 Piga usiku uliza Hashimu. 

Simu ya mkononi 0811-330012 uliza Mbwana. 

MUHIMU: Wasioomba na kupata majibu hawataruhusiwa kushiriki katika semina. Hivyo, maombi yaletwe pamoja na anuani kamili na hasa namba za simu (kama huduma hiyo ipo:- Shuleni, chuoni au kwa Mwislamu binafsi). 

9. KURIPOTI: Wajumbe wafike katika Msikiti wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Tarehe 13/12/1998 saa 10.00 jioni mpaka saa 2.00usiku. 

10.UKUMBI WSA SEMINA. Sekondari ya Kiislamu ya AL-Farouq, Tabata, Dar es Salaam. 

p. mwinyimvua,
amir MSAUD

Warsha

Sahiba Sisters Folundation inapenda kuwakumbusha wanamtandao wote na Vikundi vya Wanawake wa Kiislamu kwamba Warsha ya Pili ya Da’wah na Maendeleo itafanyika Inshallah, baina ya tarehe 19-23 Disemba 1998. Tafadhali jaza fomu na irudishe kwa Mratibu kabla ya Novemba 25, 1998. Kila mjumbe atapaswa kuchangia Tshs. 10,000 naziwasilishwe kabla ya siku ya warsha. 

Sahiba * Sisters Foundation
P.O. Box 13827, Dar es Salaam
Tel. 861316
 
 
Fomu ya Kujiandikisha
 

Jina la Kikundi 

............................................ 

Idadi ya wajumbe watakaoshiriki katika warsha: mmoja/wawili 

(kama zaidi ya wawili wasisliana nasi kabla) 

Jina la Mjumbe.......................................................................................... 

Jina la Mjumbe......................................................................................... 

Je utakuja na mtoto mdogo? ndiyo/ hapana 

Tarehe ya kuwasili............................................................ 

Utahitaji Sahiba ikusaidie kutayarisha sehemu ya kufikia? ndiyo/hapana 

Kama ndiyo unaweza mwisho kugharamia kiasi gani? 

Tshs................................................................... 
 
 

Juu 
 

YALIYOMO 
 
 
Maoni  
Kuvuja kwa mitihani: Tuweni wakweli kwa nchi yetu  

Katibu wa Baraza Kuu  azikwa Dar  
Na Mwandishi Wetu  

Ubabe wa madhalimu kuzimwa:  
Na Mwandishi Wetu  

MACHO YA SHUTUMA  
Na Abu Halima Sa Changwa  

Wazo mpachiko (Programmed mind)  
Na Abu Halima Sa Changwa  

Ta'azia: Abbas Shaaban Kilima 1938-1998  

Wasemavyo Wanaharakati  

Mdahalo kati ya Waislamu na Wakristo- 4  
Na Nandenga wa Mkomidachi  

Siri ya Miujiza  
Na Sheikh Bernard P. Nyangasa  

Umuhimu wa Elimu ya Awali kwa watoto wadogo  
Na Ustaadh Kupa Pazi Said  

Ifahamu Madrasat Ghazal Muslim - Moro  
Na Mussa Ally, Morogoro  

Pamoja na sala, tusimamishe zakah  
Na Abubakari S. Marwillo  

Aina za maudhi yaliyoharamishwa juu ya Muislamu  
Na. Ramla  

Israi na Miiraji ni miujiza  
Mwandishi: Maalim Bassaleh  

Pamoja na ahadi ya Serikali kuzifuta: kesi za mihadhara zaendelea mahakamani  
Na Muhibu Said  

Waislamu Uluguruni  Moro wazama kwenye matambiko  

Imarisheni miradi ya elimu -  Prof.  Mikidadi  
Na Mwandishi Wetu, Dodoma  

Teknologia: Jifunze Kuunganisha Kompyuta (5)  
Na Hassan Omar  

Mafunzo ya Qur'an  
Shetani anawaogopesha wenye mali kutoa  

Chakula na lishe  
[Kansa ya tumbo]  

Matangazo  
 
 

   Kutoa maoni yako kuhusu ukarasa huu: Bonyeza hapa
Au
Andika barua  kwa: webmaster@islamtanzania.org
 
Home Links Islam Tanzania Matoleo yaliyopita