An-nuur Logo 
Gazeti la Kiislamu la kila wiki - Tanzania ISSN 0856-3862 Na.172 Rajab 1419, Oktoba 23 - 29, 1998
Gazeti hili huchapishwa na Islamic Propagation Centre, Box 55105, Dar es Salaam Toleo la Internet



 
Home Links Islam Tanzania Matoleo yaliyopita


Wanawake Dodoma wataka mtoto aliyepigwa risasi akatibiwe nje
  WITO umetolewa kwa Waislamu na wananchi wote nchini kutoa michango yao ili kumpatia matibabu ya kufaa mwanafunzi Chuki Athumani.

Wakiongea baada ya kongamano lao wanawake Waislamu wa mjini Dodoma wamesema itakuwa ni jambo la kushangaza wazazi kuwahangaikia watoto wao binafsi wapate elimu bora huku wakimwacha Chuki Athumani wodini kwa miezi tisa sasa. Endelea....


YALIYOMO
 
TAHARIRI 
Kuangukia makaa hakuna nafuu kwa aliye kikaangoni 

Wanawake Dodoma wataka mtoto aliyepigwa risasi akatibiwe nje 

Kesi za Mwembechai zaanza kusikilizwa 

Fitna ya Bakwata 

Dondoo za saikolojia: Tuonavyo mambo 

Waraka wa Baraza Kuu kuhusu Parole 

Inawezekana kufanyika mdahalo kati ya Waislamu na wasio Waislamu? 
Na Nandenga wa Mkomidachi 

Teknologia 
Jifunze Kuunganisha Kompyuta (2) 
Na Hassan Omar 

Serikali ihamie Dodoma kwanza ! 
Na. Said Rajab 

Mahafali ya AMSIR Iringa 
Na Mwandishi Wetu 

Madrasatul Nnajjary Islamiya 

Ijue Madrasatul Riyaadh 

Bihawana Sekondari wafungua Ijumaa 

Vijana Shinyanga watakiwa kuwa mfano mwema 
Na Jihad R. Saballa, Shinyanga 

Vyeo visiwasahaulishe majukumu yenu- Sheikh Abri 
Na Mwandishi Wetu, Iringa 

Jiandaeni na kifo – Sheikh Abdallah 
Na Mwandishi Wetu, Dodoma 

Semina zawazindua wanawake Bukoba 
Na Nadhiru Ishengoma 

Waislamu wanaomaliza Kidato cha Nne Tanga waaswa 
Na Ibn Mohamed 

Ndugu Kamuhabwa ndiye mwenye chuki na AN-NUUR 
Mwandishi: Maalim Bassalah 

Wanawake Arusha waambiwa: 'Ukombozi wa mwanamke si kugeuzwa biashara huria' 
Na Japhary Lemah, Arusha 

Polisi walinda amani katika muhadhara wa Wakristo 
Na Badru Kimwaga 

Mazengo wapewa uwanja wa kujenga Msikiti 
Na Mwandishi Wetu, Dodoma 

'Ajiengua Chuoni Z'bar kwa kutoruhusiwa kuvaa hijab' 
Na Seif Hamad Suleiman, Zanzibar 

Barua za wasomaji 
[Kutolewa kwa kibali cha kuuza silaha, Waislamu lazima tuelewe uzito wake] [Meghji ametoa mpya!] [Nyumba ya Wakfu kugeuzwa baa] [Wasiotekeleza ibada tusishirikiane nao] [Afya zetu zipo hatarini kutokana na ufugaji ovyo wa wanyama haramu nguruwe] [Kuadhini kwa kubadilisha maneno ni halali?] [Tusijenge mazingira ya chuki kati ya wananchi na serikali] 

Masomo ya dini ya Kiislam 
[Historia - Form IV: Utaratibu wa  kupata Viongozi  katika Uislamu] [Qur’an Form V: Islamic Political Theory] 

Shairi 
Simlazimishe Yesu ukombozi wa ulimwengu (jibu) 

 

 
Kutoa maoni huhusu kurasa hizi: Bonyeza hapa 
Au 
Tuandikie kwa anuani hii: webmaster@islamtanzania.org 
SIGN OUR GUESTBOOK
fbk book