AN-NUUR 
Na.172 Rajab 1419, Oktoba 23 - 29, 1998 
 
Home Links Islam Tanzania Matoleo yaliyopita
 
 
Kesi za Mwembechai zaanza kusikilizwa 

KESI za watuhumiwa wa kadhia ya Mwembechai pamoja na zile za nyuma za ‘mihadhara ya kashfa’ zimeanza kusikilizwa Jijini Dar es Salaam chini ya mahakimu watano tofauti. 

Kesi hizo ni kesi ya jinai No. 1345 ya 1997 yenye washitakiwa 6, kesi Na. 1383 ya 1997 yenye washitakiwa sita na kesi Na. 184 ya 1998, yenye washitakiwa 11. Nyingine ni kesi Na. 192 ya 1998 yenye watuhumiwa 12 na Kesi Na. 407 ya 1998 yenye wahitakiwa 10. 

Kesi Na. 1345 inaanza kusikilizwa Oktoba 23 ambapo watuhumiwa wanashitakiwa kwa kusema maneno yenye kudhuru hisia za kidini (kiimani). Walio katika kesi hii ni Swalehe Rashid, Ramadhani Mwakwangu, Ally Majapa na Uliza Rashid. Wengine ni Ally Athumani na Ramadhani Hamisi. 

Kesi Na. 1383 (1997) imeanza kusikilizwa Oktoba 2, na itaendelea Novemba 10, katika kesi hii Waislamu sita wanashitakiwa kuharibu kituo kidogo cha Polisi pamoja na vifaa vyake huko Mwananyamala. Walio katika kesi hii ni Uliza Rashid; Ally Athuman, Ramadhani Hamisi na Ally Majapa. Wengine ni Hamisi Swalehe na Magezi Shaaban. 

Kesi Na. 184 (1998) imeanza kusikilizwa na itaendelea tena Novemba 13. Katika kesi hii watuhumiwa wanashitakiwa kwakufanya ghasia (Mwembechai); kufanya ghasia baada ya onyo la Polisi na kumjeruhi askari (Simon Nyakoro). Walio katika kesi hii ni Hatamu Sudi, Hamidu Mohamed, Hussein Mohamed, Ally Kassim na Kivuele Mawazo Abadallah. Wengine ni Abdallah Juma Bakari, Rashid Mohamed na Kombo Hassan. Aidha, wapo Hemedi Ramadhani, Hamza Amani Ally na Abdurahaman Juma Saidi. 

Walio katika kesi Na. 192 (1998) ni Mwalimu Ramadhani, Hamad Salum, Yusuf Salum, Hassan Utyani, Gaudence Gervas na Omar Hassan. Wenginen i Kassim Ally, Abdallah Sufian, Richard Kobello, Saidi Rashid na Bernard Augustino. 

Hawa kwa pamoja wanashitakiwa kwa uharibifu wa mali kwa nia mbaya (gari; bendera); kuvun ja nyumba na kuiba; kufanya ghasia baada ya onyo na kumjeruhi askari. 

Katika kesi Na. 407 (1998) wapo Rutemba Shabani, Iddi Selemani Makota; 
 

Juu 
 

YALIYOMO 
 
 

TAHARIRI 
Kuangukia makaa hakuna nafuu kwa aliye kikaangoni 

Wanawake Dodoma wataka mtoto aliyepigwa risasi akatibiwe nje 

Kesi za Mwembechai zaanza kusikilizwa 

Fitna ya Bakwata 

Dondoo za saikolojia: Tuonavyo mambo 

Waraka wa Baraza Kuu kuhusu Parole 

Inawezekana kufanyika mdahalo kati ya Waislamu na wasio Waislamu? 
Na Nandenga wa Mkomidachi 

Teknologia 
Jifunze Kuunganisha Kompyuta (2) 
Na Hassan Omar 

Serikali ihamie Dodoma kwanza ! 
Na. Said Rajab 

Mahafali ya AMSIR Iringa 
Na Mwandishi Wetu 

Madrasatul Nnajjary Islamiya 

Ijue Madrasatul Riyaadh 

Bihawana Sekondari wafungua Ijumaa 

Vijana Shinyanga watakiwa kuwa mfano mwema 
Na Jihad R. Saballa, Shinyanga 

Vyeo visiwasahaulishe majukumu yenu- Sheikh Abri 
Na Mwandishi Wetu, Iringa 

Jiandaeni na kifo – Sheikh Abdallah 
Na Mwandishi Wetu, Dodoma 

Semina zawazindua wanawake Bukoba 
Na Nadhiru Ishengoma 

Waislamu wanaomaliza Kidato cha Nne Tanga waaswa 
Na Ibn Mohamed 

Ndugu Kamuhabwa ndiye mwenye chuki na AN-NUUR 
Mwandishi: Maalim Bassalah 

'Ukombozi wa mwanamke si kugeuzwa biashara huria' 
Na Japhary Lemah, Arusha 

Polisi walinda amani katika muhadhara wa Wakristo 
Na Badru Kimwaga 

Mazengo wapewa uwanja wa kujenga Msikiti 
Na Mwandishi Wetu, Dodoma 

'Ajiengua Chuoni Z'bar kwa kutoruhusiwa kuvaa hijab' 
Na Seif Hamad Suleiman, Zanzibar 

Barua za wasomaji 

Masomo ya dini ya Kiislam 

Shairi 
Simlazimishe Yesu ukombozi wa ulimwengu (jibu) 

 

   Kutoa maoni yako kuhusu ukarasa huu: Bonyeza hapa
Au
Andika barua  kwa: webmaster@islamtanzania.org
 
Home Links Islam Tanzania Matoleo yaliyopita