|
|
| Dondoo
za saikolojia
Tuonavyo mambo MACHO yetu yana udhaifu wa hali ya juu, kwa vile hutupa taswira ambazo sisi hudhani ndizo kumbe sizo. Inavyotakiwa ni mtu kuona kwa fikra, na sio kwa kiungo tu cha kuonea, yaani jicho. Jicho la fikra huona mbali na vizuri kuliko hili la kiungo. Hebu angalia
taswira iliyoambatanishwa hapa. Je, unaona nini? Wengi wetu tunaona nyuso
mbili za watu zinazotizamana. Lakini mchoraji hakutaka kuchora watu, alichotaka
kionekane ni taswira nyeupe iliyo ndani ya weusi. Je, hujaona chombo cha
kuwekea maua? (vase).Usipende kurukia kusema suala ni hivi kama ulionavyo
wewe, bali ufanye jitihada kulitafutia vigezo vyote. Mwenyezi Mungu tu
pekee ndiye awezaye kusema suala liko hivi na ikawa fasaha mia kwa mia,
ndio maana Waislamu tunatakiwa kutegemea maelekezo ya Allah (s.w.) peke
yake kutoka kwenye Qur’an, hata kama sisi tunayaona mambo vingine.
|
YALIYOMO
TAHARIRI
Wanawake Dodoma wataka mtoto aliyepigwa risasi akatibiwe nje Kesi za Mwembechai zaanza kusikilizwa Dondoo za saikolojia: Tuonavyo mambo Waraka wa Baraza Kuu kuhusu Parole Inawezekana kufanyika mdahalo kati
ya Waislamu na wasio Waislamu?
Teknologia
Serikali ihamie Dodoma kwanza !
Mahafali ya AMSIR Iringa
Bihawana Sekondari wafungua Ijumaa Vijana Shinyanga watakiwa
kuwa mfano mwema
Vyeo visiwasahaulishe majukumu
yenu- Sheikh Abri
Jiandaeni na kifo – Sheikh
Abdallah
Semina zawazindua wanawake
Bukoba
Waislamu wanaomaliza Kidato
cha Nne Tanga waaswa
Ndugu Kamuhabwa ndiye mwenye
chuki na AN-NUUR
'Ukombozi wa mwanamke si kugeuzwa
biashara huria'
Polisi walinda amani katika
muhadhara wa Wakristo
Mazengo wapewa uwanja wa
kujenga Msikiti
'Ajiengua Chuoni Z'bar kwa
kutoruhusiwa kuvaa hijab'
Shairi
|