An-nuur Logo 

Gazeti la Kiislamu la kila wiki - Tanzania ISSN 0856-3862 Na.167 Jamadul Akhir 1419, Septemba 18 - 24, 1998
Gazeti hili huchapishwa na Islamic Propagation Centre, Box 55105, Dar es Salaam Toleo la Internet


Home Links Islam Tanzania Matoleo yaliyopita


Mgogoro wa kiwanja Duma:

Wakatoliki wasema kuna njama za Waarabu Same

Na Mwandishi Wetu

HABARI kutoka Duma wilayani Same zimeeleza kwamba Wakatoliki wamepinga hukumu ya mahakama ya mwanzo iliyowapa ushindi Waislamu katika Shauri la Madai No. 63/98.

Katika kupinga kwao hukumu hiyo Wakatoliki wamedai kwamba wana ushahidi kwamba Waislamu wamepatiwa fedha kutoka Iran, Iraq, Somalia na Zanzibar. Endelea..


Ufugaji, uuzaji nguruwe wakera wananchi Dar

Na Mwandishi Wetu

UFUGAJI, uuzaji na uchomaji wa nyama ya nguruwe umeelezwa kuwakera wananchi wengi Jijini, ANNUUR imefahamishwa.

Kumekuwa na malalamiko kutoka sehemu mbalimbali za Jiji kuhusiana na kuzagaa nguruwe na jinsi wahusika, Tume ya Jiji, wasivyoyapa uzito malalamiko hayo ya wananchi hao. Endelea...


YALIYOMO  

TAHARIRI 
Hakuna Muislamu aliyekufa kutokana na vurugu

Mgogoro wa kiwanja Duma: Wakatoliki wasema kuna njama za Waarabu Same Na Mwandishi Wetu

Wanawake wakutana Mwanza na kusema: Kunyanyaswa sasa basi
Na Mwandishi Wetu, Mwanza

Sheikh Omar Bashir ataka Waislamu waimarishe mshikamano
Na Said Sharif

Ustaadhi Abdallah Mfoyi afariki
Na Muhibu Saidi

Baraza Kuu halina Katibu Nguruka - Sheikh Kilima
Na Abu Adli

Viongozi Msikiti wa Ubungo Darajani waitwa polisi
Na Kassim Juma

Marekani `ilivyosaidia' Mujahidiin

Barua ya mtoto wa miaka minne toka Lebanon kwa Bibi Hillary Clinton

Ujumbe wa waandishi kwa Bw. Batendi, Wakristo
Na Muhibu Saidi

Waislamu wanadhalilishwa au wanajidhalilisha

Tusiwe Jogoo wa Esopo na Almasi
Na MAALIM ALI BASSALEH

Sherehe za wiki ya usalama barabarani: Kauli nzito za waheshimiwa zimekalia kuti kavu
Na Said Omar

Mwanasayansi Avicenna: Tabibu bingwa.
Na Dk. A. A. Amur

Ujenzi wa Msikiti wa Ijumaa Mriti waanza
Na Nasib A. Mziray

Kutoweka kwa hazina adimu za kimazingira
Na Yassir Salim

Mfalme Najashi ni mfano bora wa kuigwa kwa watawala
Na Idi Kikong'ona

Waislamu Moro wasaidia wagonjwa
Na Mwandishi Wetu, Morogoro

KUFUATIA KUTISHIA MAGAZETI: Sheikh Ayoub amjibu Askofu Rajab Rajab
Na Mussa Ally

TAMSA Tanga waahidi kuendeleza mema
Na Ibn Mohammed, Tanga

Ufugaji, uuzaji nguruwe wakera wananchi Dar
Na Mwandishi Wetu

Mafundisho ya Quran 
Kuwepo kwa ufufuo

Barua za wasomaji 

Masomo ya dini ya Kiislam 

Chakula na Lishe 
Haja ya maji ya kunywa

Kutoa maoni huhusu kurasa hizi: Bonyeza hapa
Au
Tuandikie kwa anuani hii: webmaster@islamtanzaia.org

SIGN OUR GUESTBOOK
fbk book