|
|
|
•Kuwahamasisha waumini waende kwa wingi mahakamani wakati wa kesi. •Rais Mkapa atoe majibu haraka hasa kwa tukio la Mwembechai kwani tayari limetimiza mwaka mmoja. •Mtoto Chuki Athumani akatibiwe nje, huruma ya Rais ianzie katika matibabu ya mtoto huyu. •Rais awe muwazi katika suala la Mwembechai •Pongezi kwa Mh. Kitwana Kondo kwa kufikisha masuala ya Waislamu Bungeni. •Misikiti yote kuanzia leo (11/02/1999) isome Qur’an, Qunuti (kutwa - kucha) ikiwa ni ishara ya kukumbuka unyama uliofanywa na serikali dhidi ya Waislamu Februari 11 - 13, 1998. •Siku ya mauaji ya Waislamu ikumbukwe kila mwaka nchi nzima. •Kuwaalika watalaamu wa Kiislamu Misikitini hasa wa masuala ya kisiasa ili wawaelekeze waumini masuala mbalimbali ya kijamii na nafasi yao katika ujenzi wa nchi yao. |
YALIYOMO
Tahari
Mwaka mmoja wa mauaji ya Mwembechai:
Waliouawa ni wanne
Waasisi wa TAA waibuka kupigania haki zilizoporwa Kuhujumiwa Waislamu kielimu: Mzazi adai mwanafunzi Adam Rashid kafelishwa Maoni yetu: Tuondoleeni wenye mikono ya damu MARADHI YA KISAIKOLOJIA: MULTIPARAPHILIASIS Askari wa Tume ya Jiji wapora mkaa Kuchangia Radio Kheri Broadcasting Station Yesu Kristo na Yohana Mbatizaji
Wakereketwa CCM wawakosha
wauaji wa Mwembechai
Ufugaji holela wa nguruwe
waikumba Dodoma
Watembelea na kusaidia wagonjwa Arusha Mkuu wa wilaya awatimua Masheikh
ofisini kwake
Sayansi na Teknolojia
Chakula na Lishe
Kumbukumbu ya mauaji Mwembechai
|