NASAHA
Na. 049 Jumatano Mei 24 - 30, 2000
Ukurasa wa mwanzo
Islam Tanzania
Matoleo yaliyopita
Chuo Kikuu Dar wafanya mitihani katika Bwalo la chakula

Na Mwandishi Wetu

Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam wanafanyia mitihani yao ya mwisho wa mwaka katika bwalo la chakula.

Mpaka jana tayari mitihani miwili ya Kiswahili na elimu ya jamii ilishafanyika katika bwalo linalojulikana kwa jina la HAVARD.

Bwalo hilo limesimamisha kabisa huduma ya chakula kwa wanafunzi tangu mitihani hiyo ilipoanza, jambo ambalo limelalamikiwa na baadhi ya wanafunzi walioongea na mwandishi wa habari hizi.

“Kufungwa kwa ‘havard’ kunasababisha tusongamane katika mabwalo mengine kitendo ambacho kinatupa usumbufu na kinakula muda wetu wa masomo”, alilalamika mwanafunzi mmoja aliekataa kutaja jina lake na kuongeza “kama mwendo ndio huu itafikia mahali mabwalo ya chakula ya tatumika kama madarasa.”

Juhudi za kuwapata viongozi wa chuo hicho kikongwe nchini hazikufanikiwa ili kuelezea utaratibu huo mpya wa kufanyia mitihani katika bwalo la chakula.
 

Juu
 

YALIYOMO
 

TAHARIRI
KERO katika Elimu ziondolewe haraka

Chuo Kikuu Dar wafanya mitihani katika Bwalo la chakula

Udini wa CCM utaisambaratisha nchi -Tambwe

‘Kutoweka’ kanda ya Kakobe: CCM yatuhumiwa

Maalim Seif awaambia Wazanzibari: Wenye mamlaka ya kumuweka mtu Ikulu ni wananchi

Mkapa afurahia maendeleo Pwani

Wapinzani wajiimarisha Moro

‘Zawadi’ ya Uchaguzi yatishia kusambaratisha taasisi ya Kiislam Tanga

Serikali yakemea mwanamke kudhalilishwa

Ushauri Nasaha
Umuhimu wa kushirikiana na majirani katika malezi ya watoto

MAKALA
Afande Mahita, wananchi hatutaki Dola ya kipolisi

Makala
CCM hawawezi kuondoa umasikini, ndio tegemeo lao

Kalamu ya Mwandishi
Makubaliano kwa vitendo Z'bar

MAKALA
CCM na sera za maendeleo (5)

Makala
Wanawake na maendeleo: Je ni wimbo wa kuchaguliwa?

Makala
CCM inatawala badala ya kuongoza

Habari za Kimataifa

RIWAYA
Mapinduzi ya fikra -4

Lishe
Unachotakiwa kufanya kabla ya kuweka chakula kwenye jokofu

BARUA

MASHAIRI

MICHEZO

  • Raza kufungua mashindano ya Wavu Zanzibar
  • Real Madrid yaota Ubingwa  leo
  • Kajumulo asema Yanga timu ya Wananchi

  •  


       Kutoa maoni yako kuhusu ukarasa huu:Bonyeza hapa
    Au
    Andika barua  kwa: nasaha1420@yahoo.com

    Ukurasa wa mwanzo
    Islam Tanzania
    Matoleo yaliyopita