![]() |
- Yasema sheria haziruhusu
- Serikali yapiga kimya
- UN yakiri ni kosa lakini yagwaya
Na Mwandishi Wetu
BARAZA Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA) Mkoani Mwanza limesema kwamba linalaani kitendo cha Marekani kuzipiga mabomu nchi za Sudan na Afghanistan. Endelea..
Africa Muslims Agency: Inavyohudumia jamii
Na Mwandishi Wetu
AFRICA Muslims Agency (AMA) ni shirika la kutoa huduma kwa jamii lisilo la Kiserikali (NGO) ambalo limesajiliwa nchini toka mwaka 1987.
Shirika hili ni mwanachama hai wa Baraza la Maendeleo ya Jamii Tanzania (TACOSODE) na kamati ya kitaifa inayotoa misaada wakati wa maafa (TANDRED).
Shughuli za AMA zina lenga kuboresha huduma za jamii na maendeleo kupitia miradi yake ya elimu, afya na misaada ya kibinadamu. Endelea..
|
Bonyeza hapa Au Tuandikie kwa anuani hii: webmaster@islamtanzania.org |
|