AN-NUUR
Gazeti la Kiislamu la kila wiki - Tanzania
Toleo
la Internet
IMEELEZWA kuwa pamoja
na serikali ya Tanzania kufahamu kuweko kwa hali inayotishia amani ya nchi
kutokana na madai ya Waislamu kwamba wanabaguliwa; imeamua kukaa kimya
badala ya kutafuta ufumbuzi.
Hali hiyo imekuwa chachu ya kudidimia amani ya nchi huku hali ikizidi kuwa mbaya kila siku.
Kwa mujibu wa Taarifa iliyochapishwa
na serikali ya Marekani hivi karibuni; Tanzania imeelezwa kutoa uhuru wa
dini lakini wakati huo huo imedaiwa kukabiliwa na shutuma kutoka kwa Waislamu
kuwa inawabagua na kuwapendelea Wakristo. Endelea...
'Mchawi' wa hesabu aibuka Tanzania
TABASAMU Karimu (15)
amekuwa ni alama katika alama za Mwenyezi Mungu kutokana na uwezo usio
wa kawaida alionao katika somo la hesabu.
Binti huyo ambaye hajamaliza elimu ya msingi ana uwezo wa kufanya hesabu kubwa iwe ni kutoa, kujumlisha, kuzidisha, kugawanya, vipeo na kadhalika na kutoa majibu kwa muda mfupi bila ya kuandika mahali. Endelea..
|
Links | Matoleo Yaliyopita | Sign our Guestbook |
Gazeti hili huchapishwa na Islamic Propagation Centre, Box 55105, Dar es Salaam