AN-NUUR  Na.174 Rajab 1419, Novemba 6 - 12, 1998 
 
 
Home Links Islam Tanzania Matoleo yaliyopita
 
Wafungwa waomba Futari na Vikoi 

WAKATI mwezi wa Ramadhani ukikaribia wafungwa wa gereza la Karanga mjini Moshi wamewaomba Waislamu wawasaidie futari, vitabu vya dini na vikoi vya kuswalia ili nao watekeleze wajibu wao kidini.

Wamesema kwamba kutokana na ufinyu wa fedha za serikali hawapati sukari na futari kwa ujumla na mchele kwa ajili ya daku. Kwa hiyo wamewaomba Waislamu wenye moyo wa kusaidia wawasiliane na uongozi wa gereza ili kujua taratibu za kufikisha misaada yao.

Katika risala yao kwa Sheikh wa Wilaya ya Moshi, wafungwa wa gereza kuu la Karanga wamesema kwamba wanapata ugumu katika kusimamisha swala kutokana na sare wanazovaa, hivyo wakaomba wapelekewe vikoi.

Aidha, wameomba wasaidiwe masahafu tafsiri ya Kiswahili na watembelewe mara kwa mara kupewa ujumbe wa Allah.

Juu 
 

YALIYOMO 
 
 
TAHARIRI  
Tuacheni na njaa yetu msituongezee silaha 

Serikali yakumbushwa kujiunga OIC 
Na Mwandishi wetu 

Polisi walizingira nyumba yangu usiku wa manane - Sheikh Mbukuzi 

Wafungwa waomba Futari na Vikoi 

Macho ya shutuma 
Na Abu Halima Sa Changwa 

Hoja pofu 
Na Abu Halima Sa Changwa 

Tafuteni ufalme wa kisiasa 

Ubaguzi katika mfumo wa elimu nchini: Chuo Kikuu chasikia kilio cha wanawake 

'Vichupi' vya nini Kimiti? 
Na. Said Rajab 

Mjadala wa Katiba na haki za Waislamu 
Na Masoud Mohammed Mbogo 

Mdahalo kati ya Waislamu na Wakristo- 3 
Na Nandenga wa Mkomidachi 

Waliochukuliwa utumwa Uarabuni 
Na Hassan Omar 

Madrasatul Maamury Islamiya 

Teknologia: Jifunze Kuunganisha Kompyuta (4) 
Na Hassan Omar 

Kuweni wabunifu muinue taaluma - Wito 

TVZ na kipindi cha 'Wasemavyo' 

Kesi ya Waislamu Mwembechai: Mashahidi washindwa  

Wanyimwa fursa ya kuswali Ijumaa Mwanza 

Shule ya Bakwata yafungiwa Tanga 

Mafunzo ya Qur'an  
Shetani anawaogopesha wenye mali kutoa 

Barua za wasomaji  

Masomo ya dini ya Kiislam  

Chakula na lishe 

Mashairi 

Matangazo 
 

   Kutoa maoni yako kuhusu ukarasa huu: Bonyeza hapa
Au
Andika barua  kwa: webmaster@islamtanzania.org
 
Home Links Islam Tanzania Matoleo yaliyopita