AN-NUUR
Gazeti la Kiislamu la kila wiki - Tanzania
Toleo la Internet

Toleo la Jumanne
 Toleo la Ijumaa

Zikiwa zimesalia siku 26 kupiga kura:
Wafumwa wakigawa shahada za kuibia kura

JUZI kundi la wana CCM na watendaji wa serikali mjini Mwanza, walivamiwa wakidaiwa kugawa shahada za kuibia kura.

Mkasa huo ulitokea katika eneo la mlango mmoja kata ya Mbugani baada ya vyama vya CUF, NCCR na TLP kuvamia ofisi ya Mtendaji Kata na kuwakuta Mwanasheria wa Manispaa ya Mwanza, Katibu Mtendaji, Mwandishi Msaidizi wa wapiga kura na Mgombea wa CCM Mzee Ngofilo, wakiwa wamekamatia shahada na vitabu vya shahada kadhaa visivyotumika.

Kwa mujibu wa watu walioshuhudia tukio hilo, mbali ya shahada hizo, "ambush" hiyo ilikuta vitabu vya shahada vilivyojazwa majina hewa kimoja kikiwa na nambari 163/d/31/354 na vingine vikiwa vimejazwa namba bila kuwa na majina. Endelea...


Soma NASAHA, Gazeti jipya kwenye mtandao...

To search in An-nuur:
Write a word or words in the space provided then press "Search". 



Bonyeza hapa
kushriki mjadala au kutoa maoni juu ya habari hizi na masuala mengineyo ya Kiislamu kwenye Baraza ya Wasomaji

   Kutoa maoni yako kuhusu ukarasa huu: Bonyeza hapa
Au
Andika barua  kwa: webmaster@islamtanzania.org


An-nuur Home | Ukurasa wa Mwanzo | Islam Tanzania
Links | Matoleo Yaliyopita | Sign our Guestbook

Gazeti hili huchapishwa na Islamic Propagation Centre, Box 55105, Dar es Salaam