AN-NUUR
Gazeti la Kiislamu la kila wiki - Tanzania
Toleo la Internet

Toleo la Ijumaa
 Toleo la Jumanne

Maskini Zanzibar! Kumbe ndio hivyo

"LEO fedha zinakusanywa katika nchi yetu, serikali ya Zanzibar hawana ruhusa kuzitumia. Kumebaki nini! Jamani tuna nchi!"

Hayo ni maneno ya Seif Sharif Hamad alipohutubia umati wa wananchi wa Unguja hivi karibuni.

Maalim Seif anayegombea Urais kupitia CUF alikuwa akichambua jinsi Zanzibar inayoathiriwa na mfumo wa sasa wa Muungano.

Amesema, kwa mfumo wa sasa wa Muungano Zanzibar hairuhusiwi kuwa na Benki Kuu ambapo Waziri wake wa Fedha huwa tu kama karani aliyevikwa kilemba cha ukoka. Endelea...


Soma NASAHA, Gazeti jipya kwenye mtandao...

To search in An-nuur:
Write a word or words in the space provided then press "Search". 



Bonyeza hapa
kushriki mjadala au kutoa maoni juu ya habari hizi na masuala mengineyo ya Kiislamu kwenye Baraza ya Wasomaji

   Kutoa maoni yako kuhusu ukarasa huu: Bonyeza hapa
Au
Andika barua  kwa: webmaster@islamtanzania.org


An-nuur Home | Ukurasa wa Mwanzo | Islam Tanzania
Links | Matoleo Yaliyopita | Sign our Guestbook

Gazeti hili huchapishwa na Islamic Propagation Centre, Box 55105, Dar es Salaam