AN-NUUR
Gazeti la Kiislamu la kila wiki - Tanzania
Toleo
la Internet
|
|
|
CCM imefuja amani - Lipumba
CHAMA Cha Mapinduzi, kimeshutumiwa kwa kufuja hali ya amani na utulivu nchini.
Prof. Ibrahim Lipumba amesema, CCM imeshindwa kutumia hali hiyo ya amani kusimamia vizuri mipango ya maendeleo.
Amesema, kwa kufuja hali hiyo Tanzania hivi sasa imekuwa nchi ya 5 kwa umaskini ikiwa juu ya nchi zile ambazo zina vita vya ndani ambazo ni Eritrea, Ethiopia, Siera Leone na Liberia.
Prof. Lipumba ameyasema hayo, alipokuwa akiwahutubia wananchi mjini Muheza hivi karibuni. Endelea...
|
Links | Matoleo Yaliyopita | Sign our Guestbook |
Gazeti hili huchapishwa na Islamic Propagation Centre, Box 55105, Dar es Salaam