AN-NUUR
Gazeti la Kiislamu la kila wiki - Tanzania
Toleo
la Internet
|
|
Mbunge wa CCM aishambulia CUF
MBUNGE wa CCM jimbo la Handeni mashariki, mheshimiwa Dk. Abdallah Kigoda amedaiwa kusema sera ya CUF ya jino la jino inahatarisha amani na utulivu nchini.
Dk. Kigoda ambaye pia ni waziri wa Nishati amedai kuwa CUF imeamua kuwa na sera hiyo kwa kuwa imefilisika kisiasa.
Aliyasema hayo alipokuwa akizindua Tawi la wakereketwa wa CCM Kwamngumi mjini Handeni hivi karibuni.
Aidha waziri huyo wa Nishati alimponda mgombea wa kiti cha Urais wa chama cha CUF Profesa Ibrahim Lipumba kuwa chama chake hakina sera ila ni udanganyifu. Endelea...
Kufuatia ziara ya Rais
Mkapa:
Wakereketwa wa CCM wafadhaika
Mwanza
Wamesema, walitaraji mapokezi, shamra shamra na hotuba ambapo zingepiku zile za chama cha CUF.
"Japo hakuwa amekuja kichama ametukata
makali. Hatuna kauli tena mbele ya hawa ngangari", amesema Bw. Joseph wa
mjini Mwanza. Endelea..
|
Links | Matoleo Yaliyopita | Sign our Guestbook |
Gazeti hili huchapishwa na Islamic Propagation Centre, Box 55105, Dar es Salaam