AN-NUUR
Gazeti la Kiislamu la kila wiki - Tanzania
Toleo la Internet
IMAM Masjidi Mujahiduun Sheikh Juma Mbukuzi ambaye pia ni Amir wa Waislamu mkoa wa Dar es Salaam amewataka Waislamu wachangie maendeleo ya Uislamu kwa hali na mali kwa kutaraji radhi za Allah (s.w.).
Sheikh Mbukuzi amesema Waislamu wanatakiwa watumie fursa waliyonayo/wanayoipata katika kuchangia na kuleta maendeleo katika Uislamu. Endelea...
Bonyeza hapa
kushriki mjadala au kutoa maoni juu ya habari hizi na
masuala mengineyo ya Kiislamu kwenye Baraza
ya Wasomaji
|
Links | Matoleo Yaliyopita | Sign our Guestbook |
Gazeti hili huchapishwa na Islamic Propagation Centre, Box 55105, Dar es Salaam