KATIKA hali isiyo ya kawaida Masjid Shadhily juzi katika swala ya Asri kuliswaliwa jamaa tatu kwa wakati mmoja huku waumini wengine wakiukimbia Msikiti kuwahi kuswali katika Misikiti ya jirani.
Waumini mbalimbali walioswali katika Msikiti huo wameeleza kuwa kundi moja likiwa na Imam wake liliswali katika korido nje huku waliokuwa ndani wakimfuata Imam wa kawaida.
Imeelezwa pia kuwa sehemu
ya walioswali juu waligawanyika makundi mawili. Kundi moja lilimfuata Imamu
wa kawaida wakati kundi lingine liliunda jamaa yake.
Endelea...
|
|