AN-NUUR
Gazeti la Kiislamu la kila wiki - Tanzania
Toleo
la Internet
Rais
aondolewe madaraka ya kuteua waandamizi
-
Apendekeze watu, Bunge lithibitishe
-
Wananchi wawe na haki ya kuhoji matokeo
ya uchaguzi
-
Siasa ya Ujamaa iondolewe kwenye katiba,
haifai
Na Mwandishi Wetu
RAIS wa nchi asiwe na
madaraka ya kuteua watendaji waandamizi wa serikali, ambacho angefanya
ni kupendekeza majina na Bunge likatibitisha au kukataa.
Maoni hayo yalitolewa katika
kipindi cha Katiba yetu kilichorushwa na kituo cha DTV wiki iliyopita.
Wakizungumza kwa pamoja katika
kipindi hicho, Sheikh Abubakar Mwilima, Dk. Abdallah Safari na Sheikh Othman
Matata wamesisitiza kupunguzwa kwa madaraka ya Rais katika marekebisho
ya Katiba yanayokusudiwa kufanywa hivi karibuni.
Endelea....
Bonyeza hapa
kushriki mjadala au kutoa maoni juu ya habari hizi
na masuala mengineyo ya Kiislamu kwenye Baraza
ya Wasomaji
Kutoa maoni yako kuhusu ukarasa
huu: Bonyeza hapa
Au
Andika barua kwa: webmaster@islamtanzania.org
Gazeti hili huchapishwa na Islamic Propagation
Centre, Box 55105, Dar es Salaam