AN-NUUR
Gazeti la Kiislamu la kila wiki - Tanzania
Toleo la Internet

Chuo cha Biblia bado kimefungwa
   
Na Mwandishi Wetu, Mwanza

CHUO cha Biblia cha Kanisa la Inland Church kilichopo Katunguru Sengerema bado kimefungwa. Aidha, inasemekana kuwa baadhi ya wanafunzi wamefukuzwa na wengine kuhamishiwa Vyuo vingine.

Mapema mwezi uliopiga mtafaruku mkubwa ulizuka Chuoni, wanafunzi wa chuo hicho cha Biblia walipohoji tofauti mbalimbali za ibada za Kikristo pamoja na mambo mengine. Endelea....


Bonyeza hapa
kushriki mjadala au kutoa maoni juu ya habari hizi na masuala mengineyo ya Kiislamu kwenye Baraza ya Wasomaji

   Kutoa maoni yako kuhusu ukarasa huu: Bonyeza hapa
Au
Andika barua  kwa: webmaster@islamtanzania.org
 
An-nuur Home | Ukurasa wa Mwanzo | Islam Tanzania 
Links | Matoleo Yaliyopita | Sign our Guestbook
 
Gazeti hili huchapishwa na Islamic Propagation Centre, Box 55105, Dar es Salaam