AN-NUUR
Gazeti la Kiislamu la kila wiki - Tanzania
Toleo
la Internet
Jihadharini na Pengo
WAZANZIBAR wametakiwa wachukue hadhari dhidi ya majaribio ya kutaka kuwaingiza katika balaa sambamba wakiitafakari kwa makini kauli ya Kardinali Pengo.
Aidha wametakiwa kuelewa historia ya kanisa Katoliki kuwa halijakuwa na rekodi nzuri hasa katika ukanda wa maziwa makuu pale linapojitumbukiza katika siasa.
Hayo yameelezwa na Wananchi kadhaa walioongea na gazeti hili mjini Zanzibar kufuatia kauli ya Kardinali huyo juu ya siasa za Zanzibar. Endelea...
Majibu ya Raisi Mkapa kwa Waislamu
|
Links | Matoleo Yaliyopita | Sign our Guestbook |
Gazeti hili huchapishwa na Islamic Propagation Centre, Box 55105, Dar es Salaam