AN-NUUR
Gazeti la Kiislamu la kila wiki - Tanzania
Toleo
la Internet
Baada ya
serikali kukalia malalamiko yao:
Waislamu
kuchukua haki zao kwa nguvu
-
Wasema Qur'an haifundishi ujinga wa kukubali
uonevu
-
Serikali hata za 'kidhalimu' hujali maisha
ya watu
-
Wahoji waliowaua Waislamu Mwembechai vipi?
WAISLAMU Jijini wameeleza
kuwa haki ni kwa mtu yeyote na mtu akiikosa huinyang'anya kwa nguvu kwa
sababu ni haki yake.
Aidha, wameihoji serikali
ieleze inawatizamaje na inawapeleka wapi Waislamu kwa kutochukua hatua
yeyote dhidi ya wale waliowaua Waislamu Mwembechai.
Wakizungumza katika kikao
kilichoitishwa na Waziri
wa Viwanda na Biashara Mhe. Iddi Simba walishangaa, kuhoji na kusema kuwa
serikali zote duniani hujali maisha ya watu ambao utaratibu wa 'inquest'
hufanyika ili kujua sababu za vifo vinavyotokea katika mazingira kama
yale yaliyowakuta Waislamu Mwembechai; lakini serikali ya Tanzania ipo
kimya kabisa katika suala la mauaji ya Mwembechai Endelea...
Bonyeza hapa
kushriki mjadala au kutoa maoni juu ya habari hizi
na masuala mengineyo ya Kiislamu kwenye Baraza
ya Wasomaji
Kutoa maoni yako kuhusu ukarasa
huu: Bonyeza hapa
Au
Andika barua kwa: webmaster@islamtanzania.org
Gazeti hili huchapishwa na Islamic Propagation
Centre, Box 55105, Dar es Salaam