AN-NUUR
Gazeti la Kiislamu la kila wiki - Tanzania
Toleo
la Internet
|
Wazee 132 Dar waihama CCM
Wazee hao wameweka tawi lao katika makutano ya barabara ya Tandamti na Msimbazi jirani na Msikiti wa Idrisa.
Mmoja wa wazee hao, Mzee Ali Mustafa Sigareti amesema ilikuwa tawi lao lifunguliwe rasmi na Prof. Lipumba Juni 17. Endelea...
Dar, Z'bar
Viongozi
wa Msikiti wawekwa ndani
Waliokamatwa na kuwekwa ndani ni Ustadh Nuhu Juma (Imamu wa muda), Ustadh Mwinyikambi Ahmad (Mwenyekiti) na Ustadh Amrani.
Hadi jana saa 2:00 usiku viongozi
hao walikuwa bado wameshikiliwa na polisi Magomeni. Taarifa nyingine zilieleza
kuwa wangehamishiwa Oysterbay. Endelea..
Links | Matoleo Yaliyopita | Sign our Guestbook |
Gazeti hili huchapishwa na Islamic Propagation Centre, Box 55105, Dar es Salaam