

|
HABARI NA MATUKIO |
|
Mlezi wa Jumuia Sheikh Suleiman Ali Yussuf alishiriki katika kuendesha mashindano ya Kimataifa ya kuhifadhi Qura’n Tukufu yaliyonyika Mjini Dar es Salaam mnamo mwezi wa July 2012
UONGOZI MPYA WA JUMUIA
Uchaguzi Mkuu wa Jumuiya ulifanyika siku ya tarehe 3 Machi 2012. Madhumuni ya uchaguzi huo yalilkuwa ni kupata viongozi wakuu wapaya wa Jumuiya. Jumla ya kra zote zilizopigwa ni 95. Matokeo ya uchaguzi huo ni kama ifuatavyo:
Amir Sheikh Ali Bakar Faki (66/95)
Naibu Amir Sheikh Yusuf Faki Ismail (58/95)
Katibu Mkuu Sheikh Rashid Suleiman Ali (95/95)
Naibu Katibu Mkuu Sheikh Omar Idrisa Omar (59/95)
Mshika Fedha Sheikh Amour Khamis Mbarouk (95/95)
Naibu Mshika Fedha Sheikh Salim Juma Suleiman (77/95)
¨ Jumuia ya Kuhifadhisha Qur’an Pemba inawapongeza wanafunzi wote walioshiriki katika Mashindano ya kuhifadhi Qur’an ya Afrika ya Mashariki na Kati yaliyofanyika Jijini Dar es Salaam mwishoni mwa mwezi wa Ramadhani mwaka huu wa 2010. Mashindano ya Afrika ya Mashariki na Kati hufanyika kila mwaka na hushirikisha washindanaji kutoka nchi hizi: Burundi, Kenya, Pemba, Rwanda, Tanzania Bara, Uganda na Unguja.
¨ Pongezi nyingi kwa mwanafunzi Mbwana Asaa Mbwana aliyetuwakilisha katika Mashindano ya Kusoma Quran ya Kimataifa, Dubai yaliyofanyika katika mwezi wa Ramadhani ya 2010. Mbwana Asaa alifanikiwa kuchukua nafasi ya saba katika mashindano hayo. Hii ni mara ya kwanza kwa mshirik kutoka Afrika ya Mashariki na Kati kufikia katika kiwango cha kumi bora kwenye mashindano haya.
¨ Jumuia inasikitika sana kwa kuondokewa na Mshika Fedha wake Sheikh Said Omar Ali (maarufu Said utenzi—alikuwa msomaji maarufu wa Tenzi katika shughuli za Chama cha CUF) kilichotokea siku ya Jumatano tarehe 30 Juni 2010 huko Dar es Salaam alikokwenda kwa ajili ya matibabu. Marehemu alizikwa siku ya pili yake tarehe mosi Julai 2010. |
|
JUMUIA YA KUHIFADHISHA QUR’AN PEMBA |
|
æóáóÞóÏú íóÓøóÑúäóÇ ÇáúÞõÑúÂäó áöáÐøößúÑö Ýóåóáú ãöä ãøõÏøóßöÑò |



|
Marehemu Al-Haj Said Utenzi |
|
Mbwana Asaa Mbwana (bonyenza picha kuona picha kubwa) |
|
Wasiliana nasi
Kwa taarifa au maelezo yoyote kuhsu Jumuia, tuandikie kwa e-mail hii:
|

|
|
Jina |
Umri |
Kiwango |
Nafasi |
|
Tartil |
Ache Said Issa |
14 |
10 |
4 |
|
|
Asha Bedran Nassor |
14 |
20 |
2 |
|
|
Sada Said Suleiman |
14 |
25 |
1 |
|
Tashjii |
Riziki Moh'd Thabit |
9 |
10 |
2 |
|
|
Zalha Abdallah Faki |
17 |
30 |
1 |
|
|
Jina |
Umri |
Kiwango |
Nafasi |
|
Tartil |
Omar Salim Omar |
14 |
10 |
3 |
|
|
Badru Haji Massoud |
14 |
20 |
1 |
|
|
Ali Mwalim Ali |
18 |
30 |
4 |
|
Tashjii |
Said Ali Abdallah |
12 |
10 |
1 |
|
|
|
|
|
|