AN-NUUR
Gazeti la Kiislamu la kila wiki - Tanzania
Toleo
la Internet
Jaribio la
kugeuza Msikiti kuwa Kanisa, kupora nyumba za Wakf:
Waislamu
wamsaka Mtikila
-
Yadaiwa alijificha Polisi
Msimbazi
-
Asambaza waraka mwingine
kumshutumu Makamba
Na Mwandishi Wetu
WARAKA wa Mchungaji Christopher
Mtikila uliodai kununua Msikiti hatimaye ugeuzwe kuwa Kanisa, umeleta hali
ya wasiwasi ambapo taarifa zinafahamisha kwamba waumini kadhaa wa dini
ya Kiislamu wameripotiwa kuwasaka Bwana Daniel Zakaria, Pius Kipengele
na Mchungaji huyo maeneo mbalimbali ya Jijini.
Uchunguzi wa gazeti hili
kwa siku tatu mfululizo wiki hii umethibitisha kuwepo kwa pilika pilika
za waumini kufuatia hatua hiyo ya Mchungaji Mtikila. Endelea....
Bonyeza hapa
kushriki mjadala au kutoa maoni juu ya habari hizi
na masuala mengineyo ya Kiislamu kwenye Baraza
ya Wasomaji
Kutoa maoni yako kuhusu ukarasa
huu: Bonyeza hapa
Au
Andika barua kwa: webmaster@islamtanzania.org
Gazeti hili huchapishwa na Islamic Propagation
Centre, Box 55105, Dar es Salaam